BLOG HII ITAKUWA INAKUPASHA HABARI MOTO MOTO ZA MICHEZO NA BURUDANI SHARE NASI KUPITIA NAMBA ZA SIMU ZIFUATAZO.0716 659 937.or azzy wakindamba@gmail.com
Saturday, November 26, 2011
KILI STARS MBOVUMBOVU.
Timu ya Taifa ya Tanzania Bara KILIMANJARO STARS Imeendelea kuwa vibonde kama ndugu zao wa Zanzibar baada ya kukubali kupokea kipigo cha uchungu 1-0 toka kwa RWANDA katika mfululizo wa michuano ya kombe la kagame inayoendelea jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment