Monday, May 07, 2012

BONGO MOVIE WALIPOVAANA NA TWIGA STARS......

 Kama kawaida ya Bongo Movie Club uKabbma kawaida ya Bongo Movie Club ushindi kwao ni kawaida yao juzi iliweza kuifunga Twiga Stars team ya wanawake kwa mabao matatu kwa mawili ulikuwa ni mapambano kwa kuichangia Twiga Stars ili iweze kupata hela kwa ajili ya mashindano ya kimataifa yanayoendelea tarehe 21 ya mwezi huu watapambana na Namibia kama kumbukumbu zangu ziko sawashindi kwao ni kawaida yao juzi iliweza kuifungateam ya wanawake kwa mabao matatu kwa mawili ulikuwa ni mapambano kwa kuichangia Twiga Stars ili iweze kupata hela kwa ajili ya mashindano ya kimataifa yanayoendelea tarehe 21 ya mwezi huu watapambana na Namibia kama kumbukumbu zangu ziko sawa


                                                      Divas wa BONGO MOVIES

 
                                                    SHILOLE MGUU JUUUUUU...............

                                                             JAQUWLINE WOLPER




No comments:

Post a Comment