BLOG HII ITAKUWA INAKUPASHA HABARI MOTO MOTO ZA MICHEZO NA BURUDANI SHARE NASI KUPITIA NAMBA ZA SIMU ZIFUATAZO.0716 659 937.or azzy wakindamba@gmail.com
Thursday, November 24, 2011
CECAFA CHALLENGE CUP LIVEEEE
Michuano y kuwania ubingwa wa Afrika mashariki na kati inatarajiwa kuanza kutimua vumbi hapo kesho wakati timu ya taifa ya zanzibar watakaporimdima kwenye dimba la Taifa,kila la heri KILI STARS NA ZANZIBAR HEROES.
No comments:
Post a Comment